TAZAMA HAPA NJIA YA KUPAMBANA NA NDEGE KWENYE MASHAMBA YA MTAMA HUKO KISHAPU
Friday, May 02, 2014
Mkulima katika kijiji cha Mwamala kata ya Mwamashele
katika wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga akitumia kombeo maarufu kwa jina la
Nh’ago kwa kabila la Kisukuma kufukuza ndege aina ya Kwelea kwelea.
Hii njia mojawapo ya kupambana na ndege aina ya kwelea
kwelea ambao wanashambulia zao la mtama kwa kasi ya ajabu katika kijiji cha
Mwamala kata ya Mwamashele katika wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga.
Hii ni njia nyingine ya kupambana na ndege hao,ambapo
wakulima wamefunga nguo kwenye mashamba ili kuwatisha ndege hao wasiingie
katika mashamba yao
Pamoja na kujitahidi kulima zao la mtama aina ya
Masiha,wakulima wa Kishapu wanachangamoto ya mazao yao kushambiliwa na ndege
hao ambao inasemekana wanakula zaidi ya gunia 5 kwa siku hali ambayo inatishia
njaa katika wilaya hiyo.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin