PICHA-SHINYANGA LEO,TAZAMA ZAO HILI LA BIASHARA WILAYANI KISHAPU
Wednesday, April 23, 2014
Katika pita pita zake malunde1 blog imebahatika kuona alizeti hii ikiwa katika shamba la mmoja wa wakazi wa mji wa Mhunze wilayani Kishapu katika mkoa wa Shinyanga.Wakulima wa zao hilo wanasema mbegu hiyo ya alizeti inaitwa Reception (pichani) ,shina moja linakuwa na matawi hadi zaidi ya kumi.Ni nzuri kama unahitaji mapinduzi katika kilimo cha zao hilo kazi ni kwako kuisaka katika maduka ya pembejeo.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin