KUHUSU GARI ILIYOTUMBUKIA BAHARINI BAADA YA KUTELEZA- DAR ES SALAAM


 Gari aina ya Pick Up imezama maji jana
asubuhi kwenye feri ya Dar es salaam 
baada ya dereva kushindwa kulizua gari 
hilo kuteleza wakati anasubiri Pantoni. Inasemekana alishindwa kufunga Break.

  anna 2
anna 3 anna 4 
Credit:Sammisago. 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments