Maajabu ya Dunia!!! JAMAA ABADILIKA NA KUWA ALBINO HUKO TABORA
Saturday, March 01, 2014
Hafidh
Masokola Damson ambaye kwa sasa anaishi Tabora mjini eneo la National Housing
amebadilika maeneo yote ya viungo vya mwili wake isipokuwa meno pekee na
kuwa albino hata kufikia hatua ya kujiunga na chama cha Maalbino
Tanzania tawi la Tabora.
Bw.Hafidh
Masokola Damson ambaye alibadilika na kuwa Albino kutokana na matumizi
ya dawa za Malaria baada ya kuzitumia mnamo mwaka 2010,Kwa maelezo yake
mara baada ya kunywa dawa aina ya Metakelfin alianza kubabuka ngozi ya
mwili wake huku magamba yakitoka mithiri ya nyoka katika mwili wake.
Hafidh Masokola kabla ya kubadilika kuwa mlemavu wa ngozi Albino.
Kwa uthibitisho wa habari hii waweza kumpigia kwa simu
ya kiganjani 0767 298 348 au 0658 298 348.
Credit-Kapipij blog
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin