Maajabu!!! KUTANA NA MWANABAIOLOJIA WA KIKE ANAYEHUDUMIA TEMBO YATIMA NCHINI ZAMBIA
Thursday, March 06, 2014
Mwanabiolojia
ambaye ameondoka nchini kwake UK baada ya kuhitimu masomo yake ya Chuo
Kikuu, Rachael ameyaelekeza maisha yake katika kuwasaidia watoto wa
tembo ambao wameachwa bila mama zao kutokana na ujangiri ambao wamekuwa
tishio kwa wanyama hao sehemu mbalimbali Duniani.
Rachael anaifanya shughuli hiyo katika hifadhi ya taifa ya wanyama pori ya Kafue ambayo ni kongwe na yenye eneo kubwa zaidi nchini Zambia.
Siyo tu huwa
anafanya kazi ya kuwatibu na kuwapa mahitaji muhimu wanyama hao, bali
pia kutumia saa 24 akifanya shughuli za hatari kuwaokoa tembo ambao wapo
katika hatari ya maisha yao.
Rachael ameingia nchini Zambia mwaka 2008 baada ya kufanya kazi za wanyama akizunguka maeneo kadhaa Duniani. Rachael, amepata elimu yake Royal Holloway College, jirani wa Egham, Surrey.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin