Updates!!!! CCM WAIBUKA WASHINDI KATA YA UBAGWE WILAYANI KAHAMA

Chama cha mapinduzi CCM kimeibuka mshindi katika uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata ya Ubagwe wilayani Kahama ambako siku chache kabla ya Uchaguzi WANACCM 6 walicharangwa mapanga na watu wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa Chadema. Vyama vitatu vya siasa  vilikuwa vimesimamisha wagombea.
Matokeo ya uchaguzi uliofanyika jana ni kama ifuatavyo-
1.Hamis Majohoro wa CCM kura 323
2.Adam Ngoma wa CHADEMA kura 219
3.Majija Lubinza wa TADEA kura 95
Msimamizi wa uchaguzi huo alikuwa Sospeter Alseco

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post