PICHA ZA MADIWANI WALIONG'ATUKA CHADEMA LEO MJINI SHINYANGA
Tuesday, February 25, 2014
Kushoto ni aliyekuwa diwani wa kata ya Masekelo bwana Zacharia Mfuko na kulia ni bwana Sebastian Peter Mzuka aliyekuwa diwani wa kata ya Ngokolo katika manispaa ya Shinyanga ambao leo wamefanya maamuzi magumu kuachia ngazi na kubaki wanachama wa kawaida wa CHADEMA kwa kile walichodai kuchoshwa na siasa za chadema zilizojaa majungu na migogoro
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin