PICHA ZA MADIWANI WALIONG'ATUKA CHADEMA LEO MJINI SHINYANGA

Kushoto ni aliyekuwa diwani wa kata ya Masekelo bwana Zacharia Mfuko na kulia ni bwana Sebastian Peter Mzuka aliyekuwa diwani wa kata ya Ngokolo katika manispaa ya Shinyanga ambao leo wamefanya maamuzi magumu kuachia ngazi na kubaki wanachama wa kawaida wa CHADEMA kwa kile walichodai kuchoshwa na siasa za chadema zilizojaa majungu na migogoro

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post