MH. LOWASSA AZUNGUMZIA AKAUNTI ZENYE JINA LAKE KWENYE MITANDAO YA JAMII


Kumekuwa na kurasa (accounts) mbalimbali zenye jina la Mhe. Edward Lowassa katika mitandao ya kijamii kama vile Facebook, Twitter, Instagram n.k. zinaonekana mmiliki wake ni Mhe. Edward Lowassa.

Ukweli ni kwamba hizo zote hazimilikiwi na Mhe. Lowassa.

Kwa maana hiyo chochote kinachoandikwa au kuchapishwa kwenye kurasa hizo  hazihusiani kwa namna yoyote na Mhe Lowassa.

Hata hivyo Mh Lowassa anawashukuru wote wenye kumiliki account hizo bila ya ruhusa yake, kwani anaamini wamesukumwa na mapenzi yao kwake.

Imetolewa na Ofisi ya Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (MB)

Credit-eddymoblaze blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post