MAKAO MAKUU YA CHADEMA JIJINI DAR ES SALAAM YANUSURIKA KUCHOMWA MOTO

chdmUsiku wa kuamkia February 11 makao makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendelea Chadema yaliyopo jijini Dar es salaam yamenusurika kuteketea kwa moto baada ya watu wasiojulikana kufanya jaribio la kulipua ofisi za makao hayo.
Tazama hapa chini video inayomuonyesha Katibu mkuu  wa Chadema Dr.Wilbroad Slaa akielezea tukio hilo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post