KUTANA NA BINADAMU MWENYE ULIMI MREFU KULIKO WOTE DUNIANI

 Duniani watu wameumbwa tofauti tofauti kabisa .. sio kwamba mwenyezi mungu amekosea la asha! ana makusudi yake kabisaaa na kama wote tungeumbwa tunafanana pata picha ingekuwaje? jibu ni moja tu kusingekuwa na maisha.... katika binadamu aliyeshangaza wengi ni huyu ambaye ulimi wake ni mrefu kuliko binadamu wa kawaida... naomba uchukue muda wako mdogo tu kumtizama akifanya yake  hapa chini  

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post