Hii unaambiwa imetokea Kisumu Ndogo, Donholm nchini Kenya Ijumaa iliyopita.
Makonda hao wawili walilazimishwa kuoga hadharani kwa kile kinachaodaiwa kuwa walikuwa wananuka. Wateja wamekuwa wakilalamika kwamba makonda hawa wananuka na hivyo kuathiri biashara.
Makonda hao waliogeshwa huku wadau wakishushudia na kuhakishiwa usafi kwa makonda itakuwa ni suala la lazima
Post a Comment