AMA KWELI POMBE NI NOUMAAAA!! TAZAMA JAMAA HUYU KILICHOMKUTA BAADA YA POMBE KUPANDA KICHWANI
Sunday, December 22, 2013
Hii ndiyo njia iliyotumika kumbeba mlevi huyu
Ukisikia pombe ni noumaaaa basi huu ndiyo mfano halisi huu ,jamaa amekunywa pombe kupita kiasi hadi kasahau njia ya kwenda kwake .Kalewaaa mpaka netiweki kichwani mwake ikawa haisomi kasahau njia ya kwenda kwake ,mbele haoni anaanguka mpaka kutembea anashindwa mwisho kabebwa kwa style hii kurudishwa kwake.,nomasana kunyweni kwa kiwango kinachotakiwa!!!!! Kunywa kwa kiasi ili uweze kujimudu kwa style hii wahuni hawachelewi kukufanyia vitu vya aibu!!!!!
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin