KIKAO CHA USHAURI WA MKOA (RCC) CHAFANYIKA KATIKA UKUMBI WA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA

Awali mkuu wa mkoa Sinyanga Ally Nassoro Rufunga akifungua kikao hicho cha ushauri wa mkoa- RCC katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa mjini Shinyanga ambapo pamoja na mambo mengine aliwakumbusha wakulima wa pamba kuwa kalenda ya kilimo inaanza Novemba mosi mwaka huu

Kushoto ni mkuu wa wilaya ya Kishapu Wilson Nkambaku akifuatilia hotuba ya ufunguzi wa kikao ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga

 Mmoja wa wajumbe wa kikao hicho akichangia kuhusu sekta ya elimu ambapo aliitaka serikali kuwachukulia sharia walimu wasio waaminifu wanaopewa pesa ili kuficha maovu ikiwemo wanafunzi kuolewa au kupewa mimba wangali wako shuleni









Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments