 |
Awali mkuu wa mkoa Sinyanga Ally Nassoro Rufunga akifungua kikao hicho cha ushauri wa mkoa- RCC katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa mjini Shinyanga ambapo pamoja na mambo mengine aliwakumbusha wakulima wa pamba kuwa kalenda ya kilimo inaanza Novemba mosi mwaka huu |
 |
Kushoto ni mkuu wa wilaya ya Kishapu Wilson Nkambaku akifuatilia hotuba ya ufunguzi wa kikao ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga |
Mmoja wa wajumbe wa kikao hicho akichangia kuhusu sekta ya elimu ambapo aliitaka serikali kuwachukulia sharia walimu wasio waaminifu wanaopewa pesa ili kuficha maovu ikiwemo wanafunzi kuolewa au kupewa mimba wangali wako shuleni
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527
Post a Comment