 |
Kata ya Didia Katibu mkuu wa CCM taifa Abdulrahman Kinana
akiwa amebeba nyoka wakati ngoma ya kisukuma ikichezwa ikiwa ni wakati wa
ziara yake hapo jana katika wilaya ya Shinyanga vijijini
|
 |
Hapa anashriki katika ujenzi
birika la maji ya kunyweshea mifugo katika kata hiyo ya DIDIA,Katikati ni Katibu wa siasa,itikadi na uenezi CCM taifa Nape Nnauye kushoto ni mbunge wa jimbo la solwa Ahmed Ally Salum
|
wakazi wa Didia katika eneo la mradi wa soko
 |
Viongozi wakiwasili eneo la mkutano wa hadhara katika kijiji cha Songambele kata ya Salawe jimbo la solwa |
wananchi wakifuatilia hotuba ya KINANA
 |
FISI...ikiwa ni sehemu ya burudani katika eneo la mkutano |
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527
Post a Comment