Kata ya Didia Katibu mkuu wa CCM taifa Abdulrahman Kinana
akiwa amebeba nyoka wakati ngoma ya kisukuma ikichezwa ikiwa ni wakati wa
ziara yake hapo jana katika wilaya ya Shinyanga vijijini
|
wakazi wa Didia katika eneo la mradi wa soko
Viongozi wakiwasili eneo la mkutano wa hadhara katika kijiji cha Songambele kata ya Salawe jimbo la solwa |
wananchi wakifuatilia hotuba ya KINANA
FISI...ikiwa ni sehemu ya burudani katika eneo la mkutano |