MAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA MWANDISHI WA CHANNEL TEN CHARLES HILILA


waandishi wa habari wakiwa wamebeba jeneza alimohifadhiwa marehemu Charles Hilila

Jeneza lililohifadhi mwili wa marehemu

picha ya marehemu enzi za uhai wake

Watumishi wa mungu wakiwa katika eneo la msiba nyumbani kwao na marehemu kitongoji cha Dulumida kijiji cha Tinde tafara ya Itwangi wilaya ya shinyanga vijijini

viongozi mbali mbali wa dini,siasa na serikali wakifuatilia misa ya mazishi eneo la msiba Tinde




Mwenyekiti wa CCM mkoa wa shinyanga Khamis Mgeja akifuatilia misa ya mazishi eneo la msiba

Mwakilishi wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa shinynga Kareny Masasi akisoma risala fupi iliyoandaliwa na klabu hiyo, pembeni Mwandishi na mtangazaji wa Radio Kahama Bundala William maarufu kama Kijukuu cha Bibi

mwakilishi wa channel ten alitoa neno eneo la msiba

mwakilishi wa Radio Faraja Anikazi kumbemba ambaye aliwahi kufanya kazi na marehemu Charles Hilila

Naibu Meya manispaa ya shinyanga David Nkulila alitoa neno eneo la msiba

Mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoa wa shinyanga Hussein Kashindye akiongelea mazuri ya marehemu Charles Hilila

watu mbalimbali wakitoa heshima zao za mwisho kwa marehemu

Kaburi la marehemu kabla hajazikwa

waandishi wa habari wakiweka mashada ya maua kwenye kaburi la mpendwa wao

Mkuu wa mkoa wa shinyanga akiweka shada la maua. picha zote na Kadama Malunde


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments