UCHAGUZI KATA YA MWAWAZA -SHINYANGA UNAFANYIKA KESHO HUKU KUKIWA KUMERIPOTIWA VURUGU KADHAA IKIWEMO KUCHOMWA MKUKI KWA MWENYEKITI WA CHADEMA
Saturday, October 27, 2012
Wananchi wa Kata ya Mwawaza katika Manispaa ya Shinyanga kesho watapiga kura kumchagua Diwani mpya ,kufuatia kifo cha aliyekuwa diwani wa kata hiyo Charles Magina aliyefariki dunia mwaka jana.
Uchaguzi huo unafanyika huku kukiwa kumeripotiwa vurugu kadhaa za kisiasa kati ya wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi CCM na wale wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema ambazo zimesababisha kujeruhiwa vibaya kwa mtu mmoja kwa kuchomwa mkuki tumboni.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin