
Naitwa Amos, ni mwanamume mwenye taaluma yangu ya udaktari na nimefanikiwa sana kimaisha. Nina nyumba yangu, nina gari na kila kitu kinachoashiria maisha bora. Lakini pamoja na mafanikio hayo, nilikuwa na siri moja ya aibu ambayo ilikuwa inanimaliza nguvu; nilikuwa siwezi kudumu na mwanamke.
Kila nikianzisha mahusiano na mwanamke, hata kama ni mcha Mungu kiasi gani, tukifikia hatua ya kuzungumzia ndoa, mambo yanaharibika ghafla.
Social Plugin