Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

BASI LA GREEN LINE LAPATA AJALI SINGIDA



Watu sita wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani, iliyotokea katika eneo la Injiri, Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, ikilihusisha basi la Kampuni ya Green Line.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Amon Kakwale, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo, huku chanzo chake kikitajwa kuwa ni tairi la basi hilo kukwama kwenye shimo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com