
Majirani wa Kimara, Dar es Salaam walishuhudia furaha isiyoelezeka pale ambapo mama mkwe ambaye awali alikuwa akiendesha chuki na matusi dhidi ya mkwe wake kwa kutopata mtoto, alionekana akimpa zawadi za kila aina mama huyo baada ya kujifungua mapacha wa kiume.
Kisa hiki kimezua mjadala mitaani kuhusu jinsi mitishamba inavyochangia kutatua matatizo ya uzazi.
Social Plugin