MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA MAJI KIPAWA

 



Kazi ya matengenezo ya bomba la inchi 6 ikitekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) - katika Wilaya ya Temeke eneo la kiwanda cha samaki Kipawa.

Kazi hiyo imetekelezwa kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa Maji kwa Wananchi wa Kiwalani na eneo la Kiwanda cha Pepsi.

Matengenezo hayo ni sehemu ya jitihada za DAWASA za kuhakikisha upatikanaji wa huduma ya maji unaendelea kuimarika katika eneo lake la kihuduma.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post