DKT. BITEKO NA NAIBU WAZIRI KAPINGA WAFANYA KIKAO CHA KIMKAKATI

Na Mwandishi wetu, Dodoma. 

Leo Oktoba 19, 2023 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kuzungumza na Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga kuhusu Masuala mbalimbali yanayohusu Sekta ya Nishati . 

Hatua hiyo inalenga kuboresha Sekta hiyo nchini ili kupata nishati ya uhakika na inayotabirika.

Kikao hicho kifupi kimefanyika katika ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Bungeni jijini Dodoma.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post