![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgTcCPYxxzzSndici44aWnMAdPzGOlxA5WHzeuuIB2V0R8tBiXgHAK462RBXVVCGUwxNL00LHJY1phQg7KD_t94omv0YJxlihXSuDiumltHD2fgpJF5GpKjFU-v4qqVfCgOgoi7LNSusluKR2UZIKd1RL0GlWa2KVzApOTO3L5qDYTvwzmoEEPl_J4rYQ/w640-h640/IMG-20231021-WA0191.jpg)
Akitoa taarifa ya ajali hiyo leo Jumamosi Oktoba 21, 2023, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Richard Abwao amesema ajali hiyo imehusisha basi la Alfa linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Dar es Salaam na kwamba wakati wa ajali, lilikuwa likitokea Shinyanga.
"Nimepata taarifa hiyo na sasa ndio naelekea eneo la tukio na taarifa kamili nitaitoa baada ya kufika na kujua hali ilivyo," amesema
Chanzo Mwananchi.