AJALI YA BASI LA ALFA, LORI YASABABISHA VIFO VYA WATU 18 NZEGA
Saturday, October 21, 2023
Watu 18 wamefariki dunia na wengine 35 kujeruhiwa baada ya basi la Alfa walilokuwa wakisafiria kugongana na lori la mafuta mjini Nzega mkoani Tabora.
Akitoa taarifa ya ajali hiyo leo Jumamosi Oktoba 21, 2023, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Richard Abwao amesema ajali hiyo imehusisha basi la Alfa linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Dar es Salaam na kwamba wakati wa ajali, lilikuwa likitokea Shinyanga.
"Nimepata taarifa hiyo na sasa ndio naelekea eneo la tukio na taarifa kamili nitaitoa baada ya kufika na kujua hali ilivyo," amesema
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin