SANLAM INSURANCE YASHIRIKI RUANGWA MARATHON

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimina na Mkurugenzi Mkuu Wa Biashara wa Sanlam Life Insurance Kyenekiki Kyando (kushoto) baada ya kumaliza kushiriki Mbio za Ruangwa Marathon kwa ajili ya kuchangia vifaa tiba zilizofanyika Ruangwa, Septemba 9, 2023. Ambapo  Sanlam Insurance ni mmoja wapo wa wadhamini wakuu wa Ruangwa Marathon.
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel akisalimina na Mkurugenzi Mkuu Wa Biashara wa Sanlam Life Insurance Kyenekiki Kyando (kushoto) baada ya kumaliza kushiriki mbio za Ruangwa Marathon kwa ajili ya kuchangia vifaa tiba zilizofanyika Ruangwa, Septemba 9, 2023. Ambapo  Sanlam Insurance ni mmoja wapo wa wadhamini wakuu wa Ruangwa Marathon.

Mkurugenzi Mkuu Wa Biashara Sanlam Life Insurance,Kyenekiki Kyando kulia akiwa na watumishi wa Sanlam Insurance  katika picha ya pamoja  baada ya kumaliza kushiriki mbio za Ruangwa Marathon kwa ajili ya kuchangia vifaa tiba zilizofanyika Ruangwa, Septemba 9, 2023. Ambapo  Sanlam Insurance ni mmoja wapo wa wadhamini wakuu wa Ruangwa Marathon.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post