VUTA NIKUTE CCM BALOZI KARUME AKIFUKUZWA CCM


Mambo si shwari ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kutokana na mvutano ulio hadharani kati ya chama hicho na kada wake, Balozi Ali Abeid Karume.

Tayari CCM imetangaza kumfukuza uanachama na kumtaka arejeshe kadi za chama hicho, huku mwenyewe akijinadi kuwa bado ni mwanachama halali.


Kwa miezi kadhaa sasa, Balozi Karume amekuwa kwenye mvutano na chama chake, kutokana na kutoa kauli ambazo zinaonekana kutowafurahisha baadhi ya viongozi ndani ya chama hicho kikongwe nchini.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post