MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA ZOEZI LA UHAKIKI WA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO


SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari inaendesha Mafunzo kwa Wasimamizi wa zoezi la uhakiki wa Taarifa za anwani za Makazi katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.

Zoezi hilo limeanza leo Juni 17,2023 na kufikia tamati Juni 27,2023 katika Wilaya hiyo ya Ubungo Jijini Dar es Salaam.


Baadhi ya wataalamu kutoka Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakitoa mafunzo kwa Wasimamizi wa zoezi la uhakiki wa Taarifa za anwani za Makazi katika Halmashauri ya Manispaa ya UbungoWasimamizi wa zoezi la uhakiki wa Taarifa za anwani za Makazi katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.wakiwa kwenye mafunzo ambayo yanatolewa naWizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post