Homehabari AJALI YA COASTER, LORI YAUA NA KUJERUHI MIKUMI Monday, June 05, 2023 Watu watano wanahofiwa kufariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari dogo aina ya Coaster iliyokuwa ikitokea mkoani Mbeya ikigongana na lori katika eneo la Iyovi Tarafa ya Mikumi mkoani Morogoro.Soma Zaidi <<HAPA>>Chanzo - Mwananchi Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 Tags: habari matukio Facebook Twitter