LIFT YA MILLENIUM TOWER YAPOROMOKA...YAJERUHI SABA


Katika hali isiyotarajiwa lifti iliyopo katika jengo la ghorofa la Millenium Tower Makumbusho jijini Dar es salaam imeporomoka na kujeruhi watu saba.


 Inaelezwa kuwa chanzo ni kushindwa kuhimili uzito mkubwa kinyume na kiwango chake ambapo ilibeba watu zaidi ya 10.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments