MERIDIANBET YAZINDUA DUKA JIPYA FIRE

Mabingwa wa michezo ya kubahatisha Meridianbet baada ya kusubiri kwa hamu duka jipya hatimaye leo hii mtaa wa Fire jijini Dar es salaam kunameremeta kwani limezinduliwa duka kwa ajili ya kubashiri michezo mbalimbali huku ODDS KUBWA kama mvua zikimwagika kila siku kazi inabaki kwako tu kuweka dau na kubashiri. 


Duka hili litawawezesha wakazi wa Fire na wengine wapita njia kubashiri wakichagua machaguo zaidi ya 1000 wanayotaka.

 

Hii si mara  ya kwanza Meridianbet wanazindua duka ni kawaida yao kwani mpaka sasa wana maduka mengi sana kwaajili ya kubetia katika maeneo mbalimbali jijini Dar es salaam kila mtaa ni wao tu rangi nyekundu ipo kila mahali na sasa wana Jackpot kubwa kabisa.

 

Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, usikose pia Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenye michezo rahisi ya sloti kama Poker, Aviator, Roulette.

 

 Baada ya uzinduzi wa duka hilo mitaa ya Fire, Bwana Twaha Ibrahim ambaye ni mkuu wa kitengo cha Maudhui Meridianbet kwanza alisema kuwa; “Duka hili ambalo tumezindua ni la nne kwa mwezi huu, na hakika natumaini mmefurahi sisi kuwaletea duka hili kwaajili ya kuwarahisishia kwenye shughuli zenu za kubetia”

 

Twaha hakuishia hapo aliwashukuru watu wote ambao walihudhuria kwenye uzinduzi huo na kuwaambia kuwa hawajakosea kuchagua Meridianbet kwenye kubashiri kwani Meridianbet hutoa kile ambacho wanakitaka na pia ODDS KUBWA zipo hapa.

Pia tembelea tovuti ya Meridianbet meridianbet.co.tz kuona ongezeko la odds kubwa na machaguo kibao.

 

Meridianbet pia wana kile ambacho unakipenda ambapo michezo ya kasino ya matandaoni hapa ndipo mahali pake kuna sloti za kijanja na michezo rahisi kushinda kama Aviator, Poker na Roulette, jiunge Meridianbet uwe moja ya washindi wa kila siku. Pia unaweza kubashiri  mubashara mechi hizo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments