KAMATI YA UKAGUZI NA HESABU ZA UMMA 'CAPA' YAJADILI RIPOTI YA UTENDAJI WA BUNGE LA AFRIKA 2022


Kikao cha Kamati ya Ukaguzi na Hesabu za Umma (Committee on Audit and Public Accounts- CAPA) ya Bunge la Afrika (Pan - African Parliament -PAP) kikiendelea leo Ijumaa Machi 10,2023 Midrand Afrika Kusini ambapo wajumbe wa kamati hiyo wamejadili ripoti ya utendaji wa Bunge la Afrika kwa mwaka 2022. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments