AUAWA BAADA YA KUMUUA HOUSE GIRL NA KUMCHOMA KISU MAMAAKE

Watu wawili wameuawa huku mmoja akijeruhiwa kwa kuchomwa na kisu maeneo ya Magomeni Kagera, Mtaa wa Ludewa


Inadaiwa kijana Erick aliyekuwa akiishi nyumbani kwa mzazi wake amemuua dada wa kazi (Anna) baada kukataliwa kimapenzi na baada ya mauaji Erick akautupa mwili chooni; muda mfupi baadaye akamchoma kisu tumboni mama yake mzazi ambaye alihoji alipo dada wa kazi baada ya kukuta damu zimetapakaa kila sehemu.


Kelele za mama mtu kuchomwa kisu ziliwashtua majirani ambao walifika eneo la tukio na kuanza kumshambulia mtuhumiwa hadi kusababisha kifo chake

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments