YANGA SC YATOKA SARE TASA NA CLUB AFRICAIN


*****************

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

KLABU ya Yanga imelazimishwa sare ya bila kufungana na timu Club African kwenye michuano ya kufuzu makundi kombe la shirikisho .

Yanga Sc licha ya kulazimisha sare ya bila kufungana kwenye mchezo huo wameonesha kuhitaji ushindi kwa kucheza kandanda safi kwa kujitahidi kutafuta bao bila mafanikio .

Yanga Sc inahitaji sare yoyote ya mabao kwenye mchezo unaofuata ambao utapigwa nchini Tunisia ili aweze kufuzu hatua ya makundi.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments