Kaimu Meneja wa PSSSF Mkoa wa Geita Bw. Kiwamba Saidi akionesha Tuzo waliyoipata baada ya kuibuka mshindi wa tatu katika Kundi la Hifadhi ya Mifuko ya Jamii na Huduma za Bima ya Afya kwenye Maonesho ya tano ya Teknolojia ya Madini yaliyomalizika Oktoba 8-2022 katika viwanja vya EPZA Bombambili Mkoani Geita.
Kaimu Meneja wa PSSSF Mkoa wa Geita Bw. Kiwamba Saidi (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Mfuko huo wakiwa wameshika Tuzo na Cheti baada ya kutangazwa mshindi wa tatu katika Kundi la Hifadhi ya Mifuko ya Jamii na Huduma za Bima ya Afya wakati wa kufungwa rasmi Maonesho hayo Oktoba 8,2022 Mkoani Geita.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin