PSSSF YASHINDA TUZO KUNDI LA HIFADHI YA MIFUKO


Kaimu Meneja wa PSSSF Mkoa wa Geita Bw. Kiwamba Saidi akionesha Tuzo waliyoipata baada ya kuibuka mshindi wa tatu katika Kundi la Hifadhi ya Mifuko ya Jamii na Huduma za Bima ya Afya kwenye Maonesho ya tano ya Teknolojia ya Madini yaliyomalizika Oktoba 8-2022 katika viwanja vya EPZA Bombambili Mkoani Geita.
Kaimu Meneja wa PSSSF Mkoa wa Geita Bw. Kiwamba Saidi (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Mfuko huo wakiwa wameshika Tuzo na Cheti baada ya kutangazwa mshindi wa tatu katika Kundi la Hifadhi ya Mifuko ya Jamii na Huduma za Bima ya Afya wakati wa kufungwa rasmi Maonesho hayo Oktoba 8,2022 Mkoani Geita.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments