TBS YAENDELEA NA ELIMU KWA UMMA ILEMELA

Mkaguzi (TBS), Bw. Nelson Mugema akitoa elimu kuhusu umuhimu wa kununua bidhaa zilizothibitishwa ubora na usalama wake na TBS sambamba na kuzingatia muda wa mwisho wa matumizi wa bidhaa kwa wananchi waliokuwepo katika gulio la kona ya bwiru wilayani Ilemela, wakati wa kampeni ya elimu kwa umma katika ngazi ya wilaya mkoani Mwanza. Mkaguzi (TBS), Bw. Nelson Mugema akitoa elimu kuhusu umuhimu wa kununua bidhaa zilizothibitishwa ubora na usalama wake na TBS sambamba na kuzingatia muda wa mwisho wa matumizi wa bidhaa kwa wananchi waliokuwepo katika gulio la kona ya bwiru wilayani Ilemela, wakati wa kampeni ya elimu kwa umma katika ngazi ya wilaya mkoani Mwanza.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments