TCRA YADHAMINI MAONESHO YA SABASABA 2022

Meneja wa Sehemu ya Masuala ya Wateja na Watumiaji- TCRA, Bw. Thadayo Ringo akiwa ameshika Tuzo ya Udhamini wa Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) iliyokabidhiwa kwa TCRA na Waandaaji wa maonesho -TANTRADE, katika hafla ya kuhitimisha maonesho hayo, iliyofanyika Julai 13, 2022 Jijini Dar es Salaam.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments