Wednesday, July 13, 2022
TCRA YADHAMINI MAONESHO YA SABASABA 2022
Meneja wa Sehemu ya Masuala ya Wateja na Watumiaji- TCRA, Bw. Thadayo Ringo akiwa ameshika Tuzo ya Udhamini wa Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) iliyokabidhiwa kwa TCRA na Waandaaji wa maonesho -TANTRADE, katika hafla ya kuhitimisha maonesho hayo, iliyofanyika Julai 13, 2022 Jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment