ANAYETAKA BANGI IHALALISHWE SASA ANAGOMBA URAIS


Mgombea wa nafasi ya Urais nchini Kenya kea tiketi ya Chama cha Roots George Wajackoyah
**

Tume ya uchaguzi nchini Kenya IEBC imepitisha jina la George Wajackoyah kuwania Urais wa nchi hiyo baada ya kumzuiwa siku kadhaa zilizopita kutokana na kutokidhi vigezo

Mwanasiasa huyo kutoka chama cha Roots amekuwa maarifu nchini humo kutokana na sera yake ya kutaka matumizi ya bangi yahalalishwe.

Mapema wiki hii, usajili wake wa kugombea urais ulikataliwa na tume ya uchaguzi IEBC kwa kukosa sahihi za kutosha, ambapo alihitajika kuwa na sahihi elfu mbili ambapo amewasilisha tena sahihi hizo na kuruhusiwa kugombea

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments