MAMA MZAZI ASIMULIA MKASA MZIMA CHANZO BINTI YAKE KUUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA MMEWE JIJINI MWANZA


Picha ya Marehemu Swalha akiwa na mume wake

Mama mzazi wa mwanamke aliyefahamika kwa jina la Swalha ambaye ameuawa kwa kupigwa risasi saba kichwani na mume wake kwa sababu ya wivu wa mapenzi amesimulia mkasa mzima kilichopelekea kifo cha mwanaye.


Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo huko Jijini Mwanza na ndoa yao ilidumu kwa muda wa miezi mitano.


Zaidi tazama hapa kwenye video Mama wa Swalha akizungumzia zaidi.


CHANZO: EATV
 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments