WAPENZI WALIOANZA UCHUMBA TANGU MWAKA 1956 WAFUNGA NDOA UZEENI 2022


Alex na Jane wakiwa na watoto wao watano
 **
Alex mwenye umri wa miaka 91 na Jane Hamilton mwenye miaka 89 kutokea nchini Uingereza wamefunga ndoa baada ya kudumu kwenye mahusiano kwa miaka 60 na kufanikiwa kupata watoto watano.


Alex na Jane walikutana mwaka 1956, ambapo kila mmoja alikuwa katika mahusiano na mtu mwingine. Baada ya miaka 6 walikutana na kuanza mahusiano yaliyodumu mpaka mwaka 2022, ndipo walipoamua kuwa mke na mume baada ya kudumu pamoja kwa miaka 60

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments