Picha : RC MJEMA AKUTANA NA WAZEE WA MKOA WA SHINYANGA


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Mjema amekutana na wazee wa mkoa wa Shinyanga kwa ajili ya kujitambulisha, kusikiliza changamoto zinazowakabili wazee na kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Wazee na wadau wakiwa kwenye Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Simbani Liganga akizungumza kwenye Mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema  na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile akizungumza kwenye Mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema  na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mzee Alley Juma akisoma taarifa ya Baraza la Wazee Mkoa wwa Shinyanga kwenye Mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema  na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akizungumza kwenye Mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema  na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Manispaa ya Shinyanga, Zengo Mikomangwa akizungumza kwenye Mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema  na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022
Mwenyekiti wa Baraza la wazee CCM Mkoa wa Shinyanga, Ziporah Pangani akizungumza kwenye Mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema  na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments