RATIBA YA YA KUCHUKU NA KUREJESHA FOMU ZA MAOMBI YA UONGOZI CCM NGAZI YA TAWI


 Ratiba ya kuchukua na kurejesha fomu za maombi ya uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ngazi ya tawi.
i. Mwenyekiti wa CCM wa Tawi.


ii. Katibu wa CCM wa Tawi.


iii. Katibu wa Siasa na Uenezi.


iv. Wajumbe watano(5) wa Mkutano kuu wa CCM ya Kata/Wadi.


v. Wajumbe kumi(10) wa Halmashauri kuu ya CCM ya Tawi.


vi. Mjumbe mmoja(1) wa Mkutano kuu wa CCM wa Jimbo na Wilaya

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments