Post Top Ad
Sunday, March 27, 2022
MBUNGE ANUSURIKA KUFA AKIENDA KUMZIKA BABAAKE..GARI LATEKETEA
Mbunge wa Masasi Mjini, Geofrey Mwambe na familia yake leo Jumapili Machi 27, 2022 wamenusurika kifo baada ya gari binafsi waliyokuwa wakisafiria kushika moto na kuteketea kabisa.
Mbunge huyo na familia yake walikuwa wakielekea Masasi kwenye msiba wa baba yake mzazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment