MAJALIWA AWAJULIA HALI WAGONJWA KATIKA KITUO CHA AFYA CHA NANDAGALA - LINDI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpongeza Rehema Hamisi ambaye amejifungua mtoto wa kike katika Kituo cha Afya cha Nandagala wilayani Ruangwa, mkoani Lindi katika wodi ya Mama na Mtoto kwenye kituo hicho, Desemba 31, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsalimia mtoto, Sarah Abubakar (1.5) na mama yake Loveness Njinjo wakati alipotembelea wodi ya Mama na Mtoto katika Kituo cha Afya cha Nandagala wilayani Ruangwa, mkoani Lindi, Desemba 31, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments