Miili ya wanahabari watano na dereva wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza waliofariki katika ajali ya gari jana Januari 11 imewasili katika uwanja wa michezo wa Nyamagana tayari kwa ajili ya heshima za mwisho.
Ajali hiyo ya Januari 11,2022 ilihusisha magari mawili likiwemo la abiria aina ya Toyota Hiace na jingine lenye namba za usajili STK 8140 mali ya Serikali lililokuwa limebeba waandishi wa habari mkoa wa Mwanza wakitokea Mwanza kuelekea Ukerewe kupitia Bunda, Mara baada ya kugongana uso kwa uso.
Download/Pakua App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Malunde.com – The Home of News You Trust is Malunde’s leading online platform and published by Malunde Media The platform brings you the latest breaking News, Business,Politics, Sports, Songs and gives you everything you’ve come to expect and love. Our Forums are vibrant and gives everyone a chance to be heard. On your computer, tablet smart phone or on our App its quick, easy and free access all the news you love. Malunde.com is updated continually with the latest news to help you feed your addiction with stories & photos from Tanzania and many more! Contact us Email : malundekadama@yahoo.com Phone/WhatsApp +255 757 478 553 ,+255 625 918 527
No comments:
Post a Comment