“WEWE NI WANGU MILELE” ...NILISIKIA AKINONG’ONEZA

 “Umdhaniaye ndiye siye” kwa miaka nane nimekuwa kwenye ndoa na mpenzi wangu niliyempenda kama chanda na pete.

 Sikujua siku moja angefanya alichokifanya, kweli asante ya punda ni mateke. Naishi katika mtaa wa Embakasi jijini Nairobi, hapo awali nilikuwa naishi pamoja na familia yangu kule Kakamega magharibi mwa Keny. Kwa kuwa nilikuwa nafanya kazi kule Magharibi, kwa kawaida kwa shughuli za kikazi, niliweza kupata uhamisho wa pahala pa kazi kuenda kuifanya kazi hiyo mjini Nairobi.

 Kwa kuwa sikuwa na hela za kutosha niliamua kuiacha familia yangu mashambani kuenda kwa shughuli za utaftaji wa kila siku, niliamua kufanya hivyo kwa huwa sikuwa na hela za kutosha kuweza kukimu mahitaji yetu yote mjini. 

Hivyo nikaamua wasalie nyumbani, mara kwa mara nilipopata nafasi niliwatembelea na kuwajulia hali na kurudi mjini baada ya siku mbili tatu hivi. Kando na hayo mara kwa mara ningeweza kumpigia mke wangu simu na kuzungumza naye kwa kuwa nilimpenda sana na nilitamani kuwa karibu naye mara kwa mara ila shughuli za kikazi hazikuniruhusu.

 Kwa upande mungine muke wangu naye hakuachwa nyuma, mara kwa mara angenitumia jumbe za mapenzi kwenye simu yangu na kunieleza jinsi anavyonipenda sana, nikikumbuka yalivyokuwa mapenzi yetu kabla ya yaliotokea kutokea naeza sema yalikua mapenzi yasikuwa na kifani.

 Jambo hilo lilinifanya mwenye furaha kila wakati na hivyo nilitia bidii kazini kuweza kumtimizia chochote alichohitaji kwa kuwa nilimuahidi kuwa ningemuweka vyema na furaha kila wakati, baada ya mwaka moja hivi mambo yalianza kubadilika, mapenzi aliyokuwa ananionesha mke wangu Sarah yalibadilika, ujumbe na simu alizokuwa akinipigia mara kwa mara zilisitishwa.

 Nilipompigia simu hakuzichukua zote, zingine zilienda bila kujibiwa kwa vyovyote vile, jambo hilo lilinipa kiwewe, na kushidwa nini mke wangu alikuwa anakifikiria kila wakati , nilishuku kulikuwa na kitu fiche. Kwa bahati nzuri niliweza kupata mapumziko ya wiki moja kazini, hivyo nikafunga safari ya kwenda nyumbani bila ya kumfahamisha mke wangu.

Nilipofika kwangu nilipata lango kuu limefungwa, nilimpigia simu haukuchutua hata! Alivyozoea , hivyo nikapenyeza kwenye ua na kuingia kwa boma langu bila yeyeto kugundua, niliubisha mlango mara kadhaa, lakini haukufunguliwa, nilishikwa na hofu kwa kudhani mke wangu alikua ameaga kumbe sivyo, niliposonga kwenye dirisha la chumba chetu cha kulala, nilisikia watu wakinong’onezana, Niliiskia sauti ya mwanaume mle chumbani na kushtuka nini kilichokuwa kinaendelea, Niliupiga mlango teke na kuingia chumbani mle ghafla nilimpata mwanaume akiwa chumbani mwangu nisijue nini alichokuwa anafanya chumbani mle, ghafla mume huyo alijihami kwa kisu na kutishia kuniua, nilipoenda kumpiga mke wangu nilimpata ametoweka kwa kutumia mlango wa nyuma, nilibaki wenye mafikira tele nisijue la kufanya.

 Kwa bahati nzuri nilipiga akili ya kuweza kupata usaidizi kutoka kwa “Kiwanga doctors” waliokuwa wamenisaidia hapo awali, nilimpigia daktari huyo simu na kumweleza kilichotokea, aliahidi kuyashughulikia kwa haraka, siku tatu baaadaye, mke wangu alirejea nyumbani na kupiga magootii na kuomba msamaha kwa aliyoyatenda, Mume huyo vile vile alinipigia simu na kuniomba msamaha , kwa uchungu aliniambia mrija wake ulikuwa umefura na angeomba urudi salama, nilimsamehe na kumpigia daktari kiwanga kumwarifu aurudishe salama, namshukuru daktari kiwanga kwa kulinda penzi langu na mke wangu.

 Pia Dkt. Kiwanga anatibu magonjwa kama Kifua kikuu, kifafa na mengine mengi kwa upande mungine anatatua mizozo ya familia, ndoa na pia kulinda mali katika boma lako. Kwa mengi tembelea wavuti www.kiwangadoctors.com ama waweza kutuma barua pepe kwa kiwangadoctors@gmail.com. Pia waweza kumpigia simu/WhatsApp kwa nambari +254769404965.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments