Watumiaji wa Mitandao ya Facebook,Instagram na WhatsApp maeneo mbalimbali duniani wamekumbwa na changamoto ya kutofikia huduma kuanzia majira ya jioni ya Oktoba 4,2021 ambapo baadhi yao wamejikuta wakiongeza salio la data/MB wakidhani bando limeisha kumbe la!
Hata hivyo Kampuni ya Facebook imethibitisha kwamba Mitandao yake ya Facebook,Instagram na WhatsApp imepata tatizo na kufanya baadhi ya Watumiaji kushindwa kufanya chochote kwenye Account zao, kwenye taarifa yao wameomba radhi na wamesema wako kazini kulitatua tatizo.
Your texts on this subject are correct, see how I wrote this site is really very good. is saturday a business day
ReplyDeleteIt is fine, nonetheless evaluate the information and facts around this correct. www.prizebondlucky.net
ReplyDeleteAcknowledges for paper such a beneficial composition, I stumbled beside your blog besides decipher a limited announce. I want your technique of inscription... arx 380 ammo
ReplyDeleteIt is somewhat fantastic, and yet check out the advice at this treat. alibaba com pakistan islamabad
ReplyDeletePost a Comment