SITAJARIBU KUIBA KITU CHA MTU TENA. YALINIPATA MAAJABU SIKU MOJA

 

Nakutahadharisha kuwa usijaribu kuiba kitu cha mtu yeyote. 

Mimi naitwa Jacob na kwa kweli niliona cha mtema kuni siku niliyojaribu kuchukua simu ya mtu. Nilikuwa nimeenda kuona mechi ya Uingereza kwenye klabu flani Jijini Dar es Salaam ndipo nilipoona simu ya Samsung imeanguka chini. 

Niliichukua na kwenda nayo nyumbani. Nilikaa na simu hiyo kwa muda wa wiki mbili kisha nikaanza kuitumia lakini nilijuta. 

Ilianza tu kwa mzaha nilipoona watu watatu wakinitembela kwa nyumba yangu usiku na kuniambia nirejeshe simu kisha wakapotea ghafla. 

Yaani ilifanyika kama mazingaombwe. Siku ya pili pia nikasikia mabati ya nyumba yangu yakipiga kelele na kisha nikaona paka wawili wakiunguruma na kuitisha simu. 

Dah! nilijua kuna jambo limefanywa na mwenye simu hiyo. Hiyo siku sikulala. 

Nilianza kutafuta mwenye simu hiyo kwenye klabu hicho nilichookota simu na kwa bahati nzuri nilimpata na nikamkabidhi simu. 

Alinicheka na kunionya kuwa nisijaribu kuchukua tena kitu ya mtu nisiyemfahamu vizuri manaake majuto ni mjukuu na huja baadaye.

 Alinielezea kuwa yeye amejikinga na miti shamba za daktari Kiwanga. 

Kiwanga Doctors ni madaktari wa kiasili ambao husaidia mno kukinga mali ya mtu isiibiwe wala kupotea. Kiwanga Doctors ni madaktari wa kiasili ambao wanaweza kutatua changamoto nyingi kama pia uzazi, utasa na kadhalika. 

Ninapoongea nawe sasa hivi hata mimi nimejikinga kutokana na mambo ya wizi wa aina yoyote. 

Boma liko salama. Pia natoa wito kwa wenye shida za magonjwa, mapenzi, ndoa, biashara, kikazi na afya kuharakisha kuwatembelea madaktari wa Kiwanga. Tuvuti au Website yao ni: www.kiwangadoctors.com; Simu: +254 769404965 au wasiliana kwa barua pepe yaani Email kwa: kiwangadoctors@gmail.com

Sio lazima usafiri hadi ofisi zao. Ongea nao kwa njia ya simu na utasaidika kwa haraka mno kama vile watu wengine wanavyopata usaidizi.  


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments