SITASAHAU SIKU NILIVYOOPATA SURUALI YA MSICHANA NA KONDOMU KWENYE GARI LA BWANAANGU


Ilikuwa aibu kubwa kwa nyumba yangu siku hiyo. Bwanaangu ni daktari kwenye hospitali moja mtaani kwetu na tulioana naye yapata miaka sita iliyopita kuptia njia ya harusi.

 Tumeishi maisha mazuri na ya amani hadi mwezi jana ndipo alipoanza kubadilisha tabia na mienendo yake.

Kwa wiki nne sasa amekuwa akirejea nyumbani usiku na wakati ninapomuuliza anasema kazi imekuwa nyingi. Nimekuwa nikishangaa imekuaje kazi yao imebadilika na kuwa nyingi tofauti na ilivyokuwa hapo awali.

Mwaka juzi aliporudi usiku nilienda kuchungulia gari lake punde tu aliposhuka na niliona maajabu. Kwa kweli niliyoyaona yalinifedhehesha mno. 

Kwenye kiti cha nyuma kulikuwa na suruali nyekundu ya msichana chini ya kiti hicho kulikuwa na mpira ya kufanyia mapenzi. 

Tabia mbaya na ya aibu; sikusema lolote na ilipofika asubuhi nilienda nikachukua vitu hizo zote mbili na nikamuonyesha ndipo ugomvi ulipozuka nyumbani. 

Bwanaangu karibu aniue kwa kisu nikatorokea mlango wa nyuma.

 Nilisafiri hadi nyumbani kwetu kwa mamaangu mzazi nikamuelezea yaliyojiri na hakuamini. Alinikaribisha na kuniambia nisijali. Siku ya pili mama aliniita sebuleni na kuniambia kuwa kuna suluhisho la kudumu. 

Alipigia Daktari mmoja wa miti shamba anayeitwa Kiwanga na kumuelezea kila jambo. Aliponikabidhi simu, Daktari aliniambia kuwa niende jioni kumuona na nilipofika alifanya mambo kadhaa ya kienyeji na kunihakikishia kuwa bwanaangu atajuta alichonifanyia.

 Sikuamani ahadi hiyo. Siku iliyofuata nilisikia simu ikilia na kuichukuwa ni sauti ya bwanaangu aliyekuwa akilia na kusema nimsamehe manaake anaona nyoka wakubwa wakimfuata kila mahali. 

Nilimuambia mimi sijui hayo kisha akasema nimsamehe manaake anahisi nimemfanyia jambo.

Alisema amejuta ya kweli na turudiane. Hata haikuisha siku hiyo mwenyewe alisafiri hadi kwetu na kumuongelesha mamangu kwa heshima kisha kuahaidi kunitunza. Sasa tumerudiana na ameachana na hulka hizo za kuhanya nje. 

Kiwanga vilevile wanatibu magonjwa sugu kama Kisukari na Pressure na magonjwa mengineyo kwa kutumia miti shamba. Wasiliana na Kiwanga Doctors kwa nambari +254 769404965 Kwa WhatsApp ipo pia au tembelea Website yao: www.kiwangadoctors.com. Unaweza kuandika barua pepe yaani Email kwa: Kiwangadoctors @gmail.com.  

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments