PROF. MANYA ATEMBELEA BANDA LA EXIM BANK MAONESHO YA BIASHARA NA TEKNOLOJIA YA MADINI SHINYANGA


Kaimu Meneja  wa Benki ya Exim (T) Ltd Tawi la Shinyanga, Bi. Sarah Paul Tito (kulia) akitoa maelezo ya huduma zinazotolewa katika Benki ya Exim kwa Naibu Waziri wa Madini Prof. Shukrani Manya (wa kwanza kushoto)  alipotembelea banda la Exim Bank wakati akifungua Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga kwa niaba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Jumapili Julai 25,2021.

Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga yanayoongozwa na kauli mbiu “Uwekezaji wa Madini na Viwanda Shinyanga kwa Uchumi Endelevu” yameanza tarehe 23 Julai, yanatarajiwa kuhitimishwa tarehe 1 Agosti, 2021 katika uwanja wa Zainab Telack kijiji cha Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga.
Kaimu Meneja  wa Benki ya Exim (T) Ltd Tawi la Shinyanga, Bi. Sarah Paul Tito (kulia) akitoa maelezo ya huduma zinazotolewa katika Benki ya Exim kwa Naibu Waziri wa Madini Prof. Shukrani Manya (wa kwanza kushoto) alipotembelea banda la Exim Bank wakati akifungua Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga kwa niaba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Jumapili Julai 25,2021.

Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Soma pia:

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments