KAMPUNI YA JAMBO YATANGAZA KUANZA KUNUNUA MATUNDA YA MANANASI


 Habari njema kwa watu wote

Kampuni ya Jambo Food Product ya mjini Shinyanga inatangaza kuwa kwa sasa imeanza kununua MANANASI.

Ewe mteja fika katika kiwanda cha Jambo mjini Shinyanga ili upate mkataba na mwongozo kamili wa kupeleka mananasi.

Pia utaratibu wa kununua matunda mengine mtatarifiwa pindi watakapoanza kununua. 

Kumbuka usilete matunda kabla hujafika ofisini na kupewa mkataba.

Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0622666692 au 0622666693

Chagua kufanya kazi nasi, Jambo Food Product : JAMUKAYA!!



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments