MATUKIO KATIKA PICHA WAKATI WA BUNGE LA KUPITISHA BAJETI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KWA MWAKA 2021/2022

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja akiwa katika picha mbalimbali za pamoja na Wabunge, Mwenyekiti wa UWT, Bi. Helen Bogohe ambaye aliwaongoza Wenyeviti na Makatibu wa Wilaya wa umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wanaotokea mkoani Mwanza mara baada ya uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2021/2022 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments