RAIS SAMIA ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA KISHAPU NA KAHAMA... SHINYANGA AMBAKIZA JASINTA MBONEKO


Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Venant Mboneko 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Jumamosi Juni 19,2021 amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilayanchini ambapo amewabadilisha vituo vya kazi baadhi, ameingiza sura mpya na kuwarudisha waliowahi kushika nafasi hizo.

Katika orodha hiyo, Kwa upande wa mkoa wa Shinyanga, Rais Samia amewateua Joseph Modest Mkude kuwa Mkuu wa wilaya ya Kishapu akichukua nafasi ya Nyabaganga Talaba, Festo Kiswaga kuwa mkuu wa wilaya ya Kahama akichukua nafasi ya Anamringi Macha huku Jasinta Mboneko akibakizwa katika nafasi ya Ukuu wa wilaya ya Shinyanga.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments